LGE2024 Matukio Yaliyojiri Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora 2024

LGE2024 Matukio Yaliyojiri Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Tabora 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
1726468761566.jpeg
Mkoa wa Tabora unapatikana katikati ya Tanzania, unapakana na mikoa ya Shinyanga, Singida, Kigoma, Katavi, na Mbeya.

Mkoa wa Tabora una ukubwa wa takriban kilomita za mraba 76,151, na ni miongoni mwa mikoa mikubwa zaidi nchini Tanzania.

SOMA PIA

Idadi ya Watu
Kulingana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Tabora una jumla ya watu 3,391,679. Idadi hii inajumuisha wanaume na wanawake kwa uwiano ufuatao:
  • Wanaume:1,661,171
  • Wanawake: 1,730,508
Mkoa wa Tabora una jumla ya Wilaya 8. Majina ya Wilaya pamoja na idadi ya watu kwa jinsia
  1. Tabora Manispaa(308,741)-Wanaume 150,416 - Wanawake 158,325
  2. Nzega Mji/ Mji wa Nzega (125,193) Wanaume 60,097 - Wanawake 65,096
  3. Igunga(546,204)- Wanaume 266,554 - Wanawake 279,650
  4. Sikonge(335,686)-Wanaume 165,309 - Wanawake 170,377
  5. Urambo(260,322)- Wanaume 127,424 - Wanawake 132,898
  6. Uyui(562,588)-Wanaume 276,261- Wanawake 286,327
  7. Kaliua(678,447) Wanawame 331,965- Wanawake 346,482
  8. Nzega vijijini(574,498) Wanaume 283,145 - Wanawake 291,353
1727853804565.png
-Mkoa wa Tabora una jumla ya kata 227 ambazo zimegawanyika kwenye wilaya zake 8.

- Mkoa wa Tabora una jumla ya vijiji 882 vilivyogawanyika katika wilaya 7(Tabora Manispaa hakuna vijiji).

-Mkoa wa Tabora una jumla ya vitongoji 3,744,

Hali ya kisiasa Mkoni Tabora

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 CCM ilishinda nafasi nyingi za uongozi ndani ya Mkoa wa Tabora katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019, CCM ilipata ushindi mkubwa, ambapo ilijinyakulia karibu asilimia 99 ya viti vya wenyeviti wa vijiji, vitongoji, na mitaa.

Katika maeneo mengi, wagombea wa CCM walipita bila kupingwa kutokana na vyama vya upinzani, kama CHADEMA, kujiondoa kwa sababu ya kile walichoeleza kuwa ni mazingira yasiyo ya haki kwenye mchakato wa uchaguzi na wengine kudaiwa hawakujaza vizuri fomu zao ivyo kujikuta fomu zao zikikataliwa.

Pia soma:
 
Mkoa wa Tabora unapatikana katikati ya Tanzania, unapakana na mikoa ya Shinyanga, Singida, Kigoma, Katavi, na Mbeya.

Mkoa wa Tabora una ukubwa wa takriban kilomita za mraba 76,151, na ni miongoni mwa mikoa mikubwa zaidi nchini Tanzania.

SOMA PIA

Idadi ya Watu
Kulingana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Tabora una jumla ya watu 3,391,679. Idadi hii inajumuisha wanaume na wanawake kwa uwiano ufuatao:
  • Wanaume:1,661,171
  • Wanawake: 1,730,508
Mkoa wa Tabora una jumla ya Wilaya 8. Majina ya Wilaya pamoja na idadi ya watu kwa jinsia
  1. Tabora Manispaa(308,741)-Wanaume 150,416 - Wanawake 158,325
  2. Nzega Mji/ Mji wa Nzega (125,193) Wanaume 60,097 - Wanawake 65,096
  3. Igunga(546,204)- Wanaume 266,554 - Wanawake 279,650
  4. Sikonge(335,686)-Wanaume 165,309 - Wanawake 170,377
  5. Urambo(260,322)- Wanaume 127,424 - Wanawake 132,898
  6. Uyui(562,588)-Wanaume 276,261- Wanawake 286,327
  7. Kaliua(678,447) Wanawame 331,965- Wanawake 346,482
  8. Nzega vijijini(574,498) Wanaume 283,145 - Wanawake 291,353
-Mkoa wa Tabora una jumla ya kata 227 ambazo zimegawanyika kwenye wilaya zake 8.

- Mkoa wa Tabora una jumla ya vijiji 882 vilivyogawanyika katika wilaya 7(Tabora Manispaa hakuna vijiji).

-Mkoa wa Tabora una jumla ya vitongoji 3,744,

Hali ya kisiasa Mkoni Tabora

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 CCM ilishinda nafasi nyingi za uongozi ndani ya Mkoa wa Tabora katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2019, CCM ilipata ushindi mkubwa, ambapo ilijinyakulia karibu asilimia 99 ya viti vya wenyeviti wa vijiji, vitongoji, na mitaa.

Katika maeneo mengi, wagombea wa CCM walipita bila kupingwa kutokana na vyama vya upinzani, kama CHADEMA, kujiondoa kwa sababu ya kile walichoeleza kuwa ni mazingira yasiyo ya haki kwenye mchakato wa uchaguzi na wengine kudaiwa hawakujaza vizuri fomu zao ivyo kujikuta fomu zao zikikataliwa.

Pia soma:
Leo ndio leo, huku ACT walinadi mgombea wa CHADEMA nadhani, ngoja tuone mambo yataishaje
 
Back
Top Bottom