Fahari omarsaid
Senior Member
- Feb 8, 2011
- 101
- 13
Hivi ni kwa sababu gani wanawake wengi wanakuwa na matumbo makubwa(vitambi)?takribani 70% ya wanawake wapo hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
michemsho na bia za bure..................
Michemsh na malta za bure wakiwa na ma bf wao.
michemsho na bia za bure..................
Kama kile cha Kapteni KombaNa wanaume je, vya kwao ni halali???
Fahari umetumwa au umeagizwa ? wengine ndio ugonjwa wetu mwanamke shurti awe mnene na tumbo kubwa,si ndio ana afya na kula vizuri.Hivi ni kwa sababu gani wanawake wengi wanakuwa na matumbo makubwa(vitambi)?takribani 70% ya wanawake wapo hivyo.
Kheee Kheeee haya hayaaaFahari umetumwa au umeagizwa ? wengine ndio ugonjwa wetu mwanamke shurti awe mnene na tumbo kubwa,si ndio ana afya na kula vizuri.
Fahari umetumwa au umeagizwa ? wengine ndio ugonjwa wetu mwanamke shurti awe mnene na tumbo kubwa,si ndio ana afya na kula vizuri.
Na wanaume je, vya kwao ni halali???
Nimefarijika umefurahi ni katika kutetea kinadada,hata wanene wanahitaji kupendwa.ha ha ha! Duh!