MATUMIZ YA DAWA YA ALUGEL NA MAGNESSIUM

MATUMIZ YA DAWA YA ALUGEL NA MAGNESSIUM

hope hope

Senior Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
138
Reaction score
74
HABAR ZA UMU. naomba kuuliza mm ni muathirika wa tumbo kujaa ges sana ambapo nlienda pima nkaambiwa nna vidonda vya tumbo sasa tumbo likijaa huwa natumia dawa ya ALUGEL ambapo hupata nafuu kwa mda sasa kuna rafki yangu ambaye ni CLINICAL OFFICER aliniambia eti matumiz ya hzi dawa badae ntapata tatzo la constipation (kukosa choo) naomba mnisaidie hii ni kwel au? mana nmeogopa sana.
 
Usiogope mkuu chakufanya jaribu kufuata ushauri aliokupa Clinical officer
 
Back
Top Bottom