chimera
Member
- Feb 9, 2013
- 31
- 37
Nawasalimu wote wana jf
Nina gari (hiace) ambayo nataka kuitumia kibiashara hapa jikon Dar
Naomba ushauri je?!! Naweza kuitumia katika biashara gan jijijin yenye faida atleast kusukuma haya maisha??
NB: Gari hili mali binafsi yani sipeleki hesabu kwa boss
Kila ushauri ntapokea na kuufanyia kazi
Nina gari (hiace) ambayo nataka kuitumia kibiashara hapa jikon Dar
Naomba ushauri je?!! Naweza kuitumia katika biashara gan jijijin yenye faida atleast kusukuma haya maisha??
NB: Gari hili mali binafsi yani sipeleki hesabu kwa boss
Kila ushauri ntapokea na kuufanyia kazi