Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Kwakweli walau friji iwe na vi wine, vijuice n.k
Unaweza pia. Ila zisikae siku nyingi pia zinapoteza ladhaKuzifreez je?
Hii na Mimi niliwahi kuifanya ,zilikaa Sana,mpaka nikazichokaMi nyanya nazikwangua/ kublend nazichemsha zinaiva...naweka kwenye container ya plastic nafreez, zinakua kama nyanya ya kopo,ukiweka kidogo tu imekolea sana nnakaa hata miezi 6 bila kununua nyanya
😂 Unazichoka tena? Ndio kubana matumizi huko.... mwaka unakata bila kununua nyanyaHii na Mimi niliwahi kuifanya ,zilikaa Sana,mpaka nikazichoka
Kuna shida gani kuizima?Ndio, labda kuizima mara moja kwa mwezi kwaajili ya kuisafisha
Okay ahsante...Wakati nanunua waliniambia pale unapoiwasha friji inakula umeme mwingi hivyo kitendo cha washa zima washa zima nacho kinakula umeme. Pia hata ukisafiri usiizime
Baridi kaliHata mimi nyanya zinaoza sijui kwanini
Uwe makini ukiwa safariniWakati nanunua waliniambia pale unapoiwasha friji inakula umeme mwingi hivyo kitendo cha washa zima washa zima nacho kinakula umeme. Pia hata ukisafiri usiizime
Uwe makini ukiwa safarini
Usiombe circuit breaker ikakata umeme(sio luku kuisha)
Hio friji ukija utafurahi mbona
Tumezoea hatuzimi fridge hata tukisafiriFafanua.