Matumizi mabaya ya madaraka na Kuisababishia Bunge/Serikali hasara :Aione Ayubu wa Kongwa

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Kama nchi hii inafuata misingi ya utawala wa sheria basi namshauri bwana Ayubu wa Kongwa kwamba DPP anaweza kumletea shida kwa kuwakubali na kuwalea COVID 19

Naomba kushauri
 
Bunge likiwapokea na kuwatambua kama wabunge halali huu utakuwa ni uendelevu uleule wa matumizi mabaya ya kodi za wananchi na upuuzi wa kijinga kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…