Matumizi Mbadala Ya Bilioni 40 za Kampeni CCM!

Rafiki,
Ishu sio kujua where the catch is,it's what you do with the information.
Now,you have a plan in mind?

SUKI..
Una habari kwamba ukishajua TATIZO umeshasolve 50% ya tatizo?
Kwa mtu kama mimi, what i will do with the information, NI KUTOCHANGIA UPUUZI HUO!
Itasaidia kidogo kuwayumbisha na mpango wao!...najua ni wengi wataofanya kama mimi!
 
tatizo sio kuchanga, tatizo ni kuzisimamia zijenge madawati...........kwenye madawati hakuna 10%
Imagine mabango, tshirts, kofia, allowances, kote huko kuna maslahi!
these people are damn stupid in their own way.
 
SUKI..
Una habari kwamba ukishajua TATIZO umeshasolve 50% ya tatizo?
Kwa mtu kama mimi, what i will do with the information, NI KUTOCHANGIA UPUUZI HUO!
Itasaidia kidogo kuwayumbisha na mpango wao!...najua ni wengi wataofanya kama mimi!

Mkuu, nakubaliana na ww, tatizo wachangiaji ni hao hao. wamejifanya kuweka mkakati wazi, lakini kimsingi wameshazikusanya kutoka mifukoni mwao wenyewe.
 
Mkuu, nakubaliana na ww, tatizo wachangiaji ni hao hao. wamejifanya kuweka mkakati wazi, lakini kimsingi wameshazikusanya kutoka mifukoni mwao wenyewe.

Right on the money!
Hii changiachangia ni kuondoa lawama.
Working amount is already in place.Hiyo ya kwako PakaJimmy ingekuwa cushion tu.

Swali kwa wapinzani: Iwapo wenzenu tayari wamekusanya vyao mapema hii,nyie mna mkakati gani katika kufinance kampeni zenu?Je?Mnasubiri ruzuku kutoka serikalini kama ilivyo ada?
 
Yes Mkuu Suki,
Hapo ndipo penye ishu!
Lazima kuwe na namna fulani kwa wapinzani nao ku'boost kiasi cha fedha, ukiacha ruzuku!
 
Kwa nini CCM na viongozi wake ni "wabunifu" sana wa kutafuta fedha za kampeni kuliko kutafuta fedha ili kuondoa kero hasa kwenye huduma za jamii? Tusingekuwa na shule, zahanati, vituo vya polisi, mahakama za mwanzo za aina hii kama viongozi hawa ambao ndio wenye serikali "wangetumia ubunifu kama huu".
 
Wakichangisha za kutatua kero za madawati, zahanati na madarasa watapata wapi hoja za kuombea kura katika chaguzi... maana wanaamini ni lazima uahidi kutatua kero ili upate kura.
 
Umiliki wa CCM umehamishwa kinyemela kutoka kwa WAKULIMA na WAFANYAKAZI kwenda kwa WANASIASA na WAFANYABIASHARA matajiri wachache!
Tunatakiwa kwanza kurudisha umiliki huo kwa wenyewe na hapo tunaweza kuchangia maendeleo yetu.
Ukiangalia historia, wakulima na wafanyakazi masikini ndio waliojenga majengo na viwanja vingi vinavyotumiwa na hao wajanja wachache.

Hawawezi kufikiria kuchangia huduma kama elimu, afya n.k kwani wao huduma hizo wanazipata nje ya nchi!
Watoto wao wanasoma nje ya nchi, familia zao zinatibiwa nje ya nchi na tena huduma zote hizo zinalipwa kwa kodi zetu.

Ili tuendelee lazima kwanza viongozi wetu wawe wenzetu katika huduma za jamii hivyo watatoa kipaumbele katika maamuzi.
Sasa hivi cha muhimu kwao ni kuchangia uchaguzi ili wapate nafasi tena za kuvuna na kupeleka nje ya nchi.
 
wanatuchezea vichwa, au hela iko iko tayari tunazubaishwa?
 


Mkuu hapa umegusa pale kunako..uliza KAMPUNI YA NANI?? CCM wamempa tender ya kufanya hiyo collection thru sms utauona uchafuuuuuu woooooteeeeee!!
 
Hizo fedha wanazo inawezekana hii changishana ni geresha tu ili msije kuwauliza wamepata wapi
 
Wengi wa wanaochanga na watakaochanga hizo Bilioni 40 ni mafisadi walewale. Hii ni danganya toto ya CCM. Ebu jiulize kwanini Mungwana hajawatimua kwenye Central Committee ya CCM?
 
CCM hawahitaji michango ya sms kwani wamezoea fedha kubwa kubwa ndio maana m/kiti wao alisema " zile tunazozijua tuendelea kuzitumia" zipi hizo? za uwizi kama EPA
 
Ungeweza kugundua upungufu wa busara kwa kuangalia nyuso za washiriki. Tangu huyo anayeitwa JK na hata MC wao.

Hawa ni Punguwani waliofaulu kushika madaraka. Tutakoma maana naamini hakuna aliyetimamu atakayeruhusiwa kuingia ktk perimeters zao.
 

tukaribie wapi??......... si uanzishe thread yako?......... unavuruga uelekeo wa michango na humtendei haki mleta thread!............ sorry kwa makwazo..........
 
Kila nifanyalo machoni penu ni baya............ Nilishawahi kuuliza kuwa ..........hivi, kukodi helicopter kwa siku moja ni shilingi ngapi.... sikujibiwa. Kila watu wana mbinu zao za kupata fedha.
 
tukaribie wapi??......... si uanzishe thread yako?......... unavuruga uelekeo wa michango na humtendei haki mleta thread!............ sorry kwa makwazo..........

Mwache ban, kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake. Usidhani kuwa ya kwako tu ndiyo sahihi.
 
Una akili sana PJ,Sijui kwa nini watu kama nyie msigombee huo urais.Au unasubiri Hukumu ya Mgombea binafsi itolewe?
 
Una akili sana PJ,Sijui kwa nini watu kama nyie msigombee huo urais. Au unasubiri Hukumu ya Mgombea binafsi itolewe?
Naongojea SISIJEI ipate usajili wa kudumu!..Embu basi jisajilini Charity, tumewarahisishieni usajili sasa hivi, unaingia HAPA kiulaiini, ushakuwa memba, na umetuwezesha!
 
jAMANI tatizo sio kuchangia, kwa hali iliyopo sasa ni lazima uchangiaji huo uwepo ili kufanikisha uchaguzi wa mwaka huu, uchaguzi ni gharama na lazima chama kijiandae kwa hilo.
Mi naliona kwa upande tofauti, hata wachange $100M kama sisi wananchi hatuwataki hawatapita, kumbukeni utaratibu wa kuwapata wagombea mwaka huu ni kwa kura za maoni zinazopigwa na wananchi wote, basi sisi badala ya kujadili pesa zao watakazo pata basi tujipange kuwakataa wale wote wasiokubalika na wale wasioleta maendeleo katika jamii zao.
kama kiongozi wako ni mpenda maendeleo na anaguswa na maendeleo ya eneo lake husika basi angeweza kufanya harambee na kukusanya michango kwa ajiri ya shule,madawati, madawa hospitalini nk, lakini hawana ubunifu na hawana haja na maendeleo ya jamii yao kwa ajiri ya ubinafsi wao......KILA KWENYE KOSA PANA FUNZO....TUJIFUNZE WATANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…