Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
Je ipi ni sahihi mama yangu au mama wangu
Je ipi ni sahihi mama yangu au mama wangu
daaaah mkuu first aid unajua,,.big upWakubupa
Labda sasa tufungue darasa la kiswahili, neno mama linaundwa na mofimu huru kwa hiyo linabeba maana bila kupachikwa kiambishi chochote... kimsingi mofimu huru huwa azitengashwi kufanya hivyo zinapoteza maana
Mfano: Ma ni silabi isiyo na maana kisarufi ila ikijirudia na ikiwa mama inaleta nomino yenye maana ya mzazi wa kike.
Neno yangu ni kiwakilishi kimilikishi mbele ya nomino ili kupata upatanishi wa kisarufi, lakini pia herufi "y" imesimama kudokeza nafsi ya kwanza umoja ya nomino iliyo tanguli...ikiwa utaweka "w" itaondoa upatanishi wa kisarufi na pia italeta nafsi ya tatu wingi.
Pigeni kampeni ya R,L kutamkwa na kuandikwa inavyotakiwa.Tatizo linazidi kua kubwa Page za mitandao yote na media zote hawajui matumizi sahihi ya R na L
Jibu ndo hilo mkuua)Hili ni kionyeshi kiashiria na
Neno Ili ni kisababishi cha tendo
Mfano ili nije
b)Ndio ni kiwakilishi cha kitenzi (tendo) mfano nilipo fika ndio akanipa
Neno Ndiyo ni kukubali ni kama kusema sawa
c)Kwahiyo hili ndilo sahihi ni ni ufupisho wa neno kwa sababu hiyo..
d)Ila = isipokuwa na neno Hila = hadaa au udanganyifu
e)Hata ndio sahihi sio Ata