Chungu cha bibi
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 525
- 166
Wakati zikitangazwa nchi zenye matumizi ya smartphone Afrika na TANZANIA kushika nafasi
ya pili nyuma ya Nigeria, Pia imetolewa chati inayoonesha matumizi ya simu za kisasa (smart phones) katika vyuo vya elimu ya juu nchini, huku Chuo cha UDSM kikitajwa kuwa na matumizi makubwa ya smartphone ambapo wanafunzi wake wenye smart phone ni 89.7%
ORODHA KAMILI HII HAPA:
1.UDSM
2.IFM
3.SAUT-Mwanza
4.CBE
5.IMTU
6.UDOM
7.MUHIMBILI
8.TUMAINI-Iringa
9.SUA
10.ARDHI
11.MIPANGO-Dodoma
12.DIT
13.BUGANDO
14.KAMPALA
15.ST.JOHN-Dodoma
16.RUCO
17.KCMC
18.JORDAN UNIVERSITY
19.MUCCOBS-Moshi
20.MAKUMIRA BIBLE SCHOOL.
NB: Je chuo chako ni cha ngapi?? Kama hakipo kwenye list ujue hadi mkuu wenu wa chuo ana Nokia tochi.
ya pili nyuma ya Nigeria, Pia imetolewa chati inayoonesha matumizi ya simu za kisasa (smart phones) katika vyuo vya elimu ya juu nchini, huku Chuo cha UDSM kikitajwa kuwa na matumizi makubwa ya smartphone ambapo wanafunzi wake wenye smart phone ni 89.7%
ORODHA KAMILI HII HAPA:
1.UDSM
2.IFM
3.SAUT-Mwanza
4.CBE
5.IMTU
6.UDOM
7.MUHIMBILI
8.TUMAINI-Iringa
9.SUA
10.ARDHI
11.MIPANGO-Dodoma
12.DIT
13.BUGANDO
14.KAMPALA
15.ST.JOHN-Dodoma
16.RUCO
17.KCMC
18.JORDAN UNIVERSITY
19.MUCCOBS-Moshi
20.MAKUMIRA BIBLE SCHOOL.
NB: Je chuo chako ni cha ngapi?? Kama hakipo kwenye list ujue hadi mkuu wenu wa chuo ana Nokia tochi.