Matumizi ya chumvi

Hildafranc

Senior Member
Joined
Jan 29, 2015
Posts
103
Reaction score
32
Heshima kwenu wakuu,naomba kufahamishwa kama CHUMVI YA MAWE inafaa kutumiwa na mtu mwenye shinikizo la damu badala ya ile ya kawaida tunayotumia majumbani.
 
Chumvi chumvi tu ila wajua faida ya hii unayoitumia?? Imeongezewa iodine na iron kwa vipimo sahihi. Yako ina vitu hivyo?? Mkuu, tumia chumvi kidogo sio mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…