Matumizi ya Cruise Control kwenye gari

Gari za kijapani zipo nying tu, crown models, rav 4 miss Tanzania model, vanguard, corolla new model fortuner second and third models etc, kiufupi kama unatumia gari ya toyota au mjapani yeyote aliyekuzidi umri hiyo kitu sahau
Haina jinsi mkuu acha tuendeshe hizohizo za mwaka 47
 
hv vigari vyetu vingine sijui hicho kitu kiko wapi...niko huku nyuma kwenye boot natafuta maana ndani kwenye staring pale mi sioni kitu asee..

hii mishipa tunayouziwa engine hiiii ...Baba tusaidie waja wako maana gari zote nazonunua hata kama zina hiyo kitu huwa zinanifikiaga zikiwa zishang'olewa yani Gia tu ndo inafanya kazi..Dashboard enyewe haisomi kitu mshale umelala doloooooo ka teja muda wote yani.

Maombi yanahitajika.
 
VW?? Swali! Jinsi gani unaweza kuchagua aina ya display ( zile nyekundu) unazotaka kuona kwani wakati mwingine inaonyesha speed, au kms za kwenda kwa mafuta yaliyopo, au average speed, au fuel consumption kwa km/litre, au muda ulioendesha gari etc. Nataka nichague mwenyewe information ninayotaka kuona badala ya zenyewe kujibadilisha.
 
Nitapost video. Nikumbushe.
 
 

Attachments

  • VID_20190811_172402.mp4
    97.6 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…