lopinavir
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 188
- 121
Habari zenu wanajamvi?
Hivi ni sahihi kwa baadhi ya taasisi za serikali kuchaji gharama zao kwa kutumia Dola badala ya Shilingi ya Tanzania(Tsh)?
Mfano: Air Tanzania kwa safari za ndani, ukiingia kwenye website ya kufanya booking wameweka nauli zao kwa Dola badala ya Tsh, hii ni sawa?
Hivi ni sahihi kwa baadhi ya taasisi za serikali kuchaji gharama zao kwa kutumia Dola badala ya Shilingi ya Tanzania(Tsh)?
Mfano: Air Tanzania kwa safari za ndani, ukiingia kwenye website ya kufanya booking wameweka nauli zao kwa Dola badala ya Tsh, hii ni sawa?