Matumizi ya hemovit kwa mjamzito

chelsea fc

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
864
Reaction score
212
Habari wanajamvi?
ninaomba kujuzwa juu ya matumizi ya hii dawa ya kuongeza damu mwilini aina ya hemovit kwa mwanamke mwenye ujauzito wa miezi nane yaani week 32,
Je akiitumia haitamletea matatizo?vilevile kuna vidonge alipewa vinaitwa feso 1×3,sasa kabla hajavitumia akapewa ushauri na mtu mwingine kuwa hiyo hemovit ni nzuri sana.
Waataalam naombeni msaada wenu!
 

Hizo dawa hazina madhara atumie.
 
Zote ni safe na ni.muhimu ukazingatia ili damu iongezeke,pia jaribu kunywa rosela kwa wingi inaongeza damu haraka,mimi ilinisaidia sana,niliandikiwa hemovit ila ilinishinda kutokana na harufu yake,dokta akanishauri nitumie juice ya rosela kwa wingi
 
Ni vizur mama mja mzito kuchukua tahadhar kwa kutumia vitu mbalmbal vya asili vinavyoongeza damu kama vile zambarau,zabibu,matembele,mchuz wa maharage,mchicha,rozela na vngnevyo ili kua ktk safe side during delivery,inashauriwa mama mjamzito had kujifungua iwe 14-16, so yte haya yakishindikana ndo aanze vidonge na hemovt
 

mkuu kuna tunda jengine pia hutumika kuongeza damu ukilitazama kwa nje ni kama kiazi mbatata lakini kwa ndani ukilikata ni jekundu ukilipata unalimenya kisha unalikata slesi na unaziloweka kwenye maji basi baada ya masaa mawili mgonjwa anaweza tumia juice yake haya nayo ni mazuri pia yanapatikana soko la mboga kariakoo.
 
Zote ni safe na ni.muhimu ukazingatia ili damu iongezeke,pia jaribu kunywa rosela kwa wingi inaongeza damu haraka,mimi ilinisaidia sana,niliandikiwa hemovit ila ilinishinda kutokana na harufu yake,dokta akanishauri nitumie juice ya rosela kwa wingi
Rozela haipatikani?kutokana na ukame wa mwaka jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…