Marumeso
JF-Expert Member
- Oct 3, 2009
- 1,410
- 1,325
Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au?
◇ Maduka mengi ya dawa hawauzi hizi Kit.
◇ Yale maduka machache yanayouza unakuta wanauza kimachalemachale kama vile wanavyofanya wauza bangi au gongo, ukiulizia ni lazma huyo muuzaji aangalie kulia na kushoto mithili ya mtu anayetaka kuvuka barabara ahakikishe kama kuna mtu mwingine amesikia hicho mnachotaka kuuziana.
◇ Tena unakuta wauzaji walio wengi wanazificha mbali huko na wengine huziweka nyumba za jirani kiasi ukihitaji inabidi hadi aifuate huko. Hapo sasa itabd ungoje kwa muda wa kutosha akaitoe huko alikoificha!!
◇ Wakuu TATIZO ni nini hasa, ni kwamba matumizi ya vifaa hivi bado hayajaruhusiwa hapa nchini au kuna nini hasa kwenye biashara hii?
◇ Maduka mengi ya dawa hawauzi hizi Kit.
◇ Yale maduka machache yanayouza unakuta wanauza kimachalemachale kama vile wanavyofanya wauza bangi au gongo, ukiulizia ni lazma huyo muuzaji aangalie kulia na kushoto mithili ya mtu anayetaka kuvuka barabara ahakikishe kama kuna mtu mwingine amesikia hicho mnachotaka kuuziana.
◇ Tena unakuta wauzaji walio wengi wanazificha mbali huko na wengine huziweka nyumba za jirani kiasi ukihitaji inabidi hadi aifuate huko. Hapo sasa itabd ungoje kwa muda wa kutosha akaitoe huko alikoificha!!
◇ Wakuu TATIZO ni nini hasa, ni kwamba matumizi ya vifaa hivi bado hayajaruhusiwa hapa nchini au kuna nini hasa kwenye biashara hii?