Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au?

Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au?

Marumeso

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2009
Posts
1,410
Reaction score
1,325
Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au?

◇ Maduka mengi ya dawa hawauzi hizi Kit.

◇ Yale maduka machache yanayouza unakuta wanauza kimachalemachale kama vile wanavyofanya wauza bangi au gongo, ukiulizia ni lazma huyo muuzaji aangalie kulia na kushoto mithili ya mtu anayetaka kuvuka barabara ahakikishe kama kuna mtu mwingine amesikia hicho mnachotaka kuuziana.

◇ Tena unakuta wauzaji walio wengi wanazificha mbali huko na wengine huziweka nyumba za jirani kiasi ukihitaji inabidi hadi aifuate huko. Hapo sasa itabd ungoje kwa muda wa kutosha akaitoe huko alikoificha!!

◇ Wakuu TATIZO ni nini hasa, ni kwamba matumizi ya vifaa hivi bado hayajaruhusiwa hapa nchini au kuna nini hasa kwenye biashara hii?

20220808_092528.jpg
 
Kuna wakati nikiwatafakali hawa masponsa wa hii miradi naona kabisa wanataka weusi tuangamie kabisa.

Wanaweka pesa mingi sana kwenye madawa ya kufubaza ugonjwa (yani baada ya mtu kuathirika) kuliko kule kwenye kuzuia maambukizi mapya.

Hapa ilitakiwa pesa mingi iende kwenye njia za kuzuia kuenea kwa maambukizi mapya ambayo ndo mengi zaidi.
 
Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au?

◇ Maduka mengi ya dawa hawauzi hizi Kit.

◇ Yale maduka machache yanayouza unakuta wanauza kimachalemachale kama vile wanavyofanya wauza bangi au gongo, ukiulizia ni lazma huyo muuzaji aangalie kulia na kushoto mithili ya mtu anayetaka kuvuka barabara ahakikishe kama kuna mtu mwingine amesikia hicho mnachotaka kuuziana.

◇ Tena unakuta wauzaji walio wengi wanazificha mbali huko na wengine huziweka nyumba za jirani kiasi ukihitaji inabidi hadi aifuate huko. Hapo sasa itabd ungoje kwa muda wa kutosha akaitoe huko alikoificha!!

◇ Wakuu TATIZO ni nini hasa, ni kwamba matumizi ya vifaa hivi bado hayajaruhusiwa hapa nchini au kuna nini hasa kwenye biashara hii?

View attachment 2317706
Vipo kibao tu, pesa yako. Pale Kariakoo vinauzwa 5,000 TZS.
522598544.jpg
 
fyegu upo salama, nikutoe wasiwasi, Mimi nilipima siku ya 40, mambo yakawa safi na mwezi huu nimefikisha miezi 8 nimepima nipo safi kabisa.

unaweza pima na uzito kama unaona hali sio ya kawaida, unaweza usipate ukimwi ukapata TB, maana wenye positive wanakuwa na vimelea vya TB nahisi maana mimi binti aliniambukiza TB, ila nimepona sahizi nipo makini hamna mfano
JE na kwa cku 40
 
Back
Top Bottom