Matumizi ya kuku waliochoka kutaga kwa nyama

Matumizi ya kuku waliochoka kutaga kwa nyama

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1545190892673.jpeg


Vifaranga vya mayai huchukua kati ya week 18-20 kuanza kutaga. Baada ya hapo huendelea kutaga mayai kwa mwaka mmoja.

Baada ya mwaka mmoja kuku hawa huzeeka, utagaji unapungua na kukoma, manyoya ya mwili hupungua na huhitaji chakula.

Soko la kuku hawa likoje, tupeane uzoefu.
 
View attachment 971867

Vifaranga vya mayai huchukua kati ya week 18-20 kuanza kutaga. Baada ya hapo huendelea kutaga mayai kwa mwaka mmoja.

Baada ya mwaka mmoja kuku hawa huzeeka, utagaji unapungua na kukoma, manyoya ya mwili hupungua na huhitaji chakula.

Soko la kuku hawa likoje, tupeane uzoefu.
Hongera kwa ufugaji...
 
Raia wa dar wanauziwa hawa kuku wastaafu kama kuku wa kienyeji...hatari sana

Daaahhh, juzi nimeenda sehem kupata supu ya kuku, nililetewa huu upuuzi eti kuku wa kienyeji dudeeee Lina mafutaaa daaahhhh ckuweza kula aseee
 
Daaahhh, juzi nimeenda sehem kupata supu ya kuku, nililetewa huu upuuzi eti kuku wa kienyeji dudeeee Lina mafutaaa daaahhhh ckuweza kula aseee
wale kuku waliozeeka wala hawana mafuta wewe utakuwa umekula kitu kingine
 
Back
Top Bottom