Kasongo_2024
Member
- Mar 9, 2024
- 40
- 38
Serikali imejipanga vipi kuhakikisha mwananchi wa kawaida anatumia gesi au umeme kupikia?
Je, huu uamuzi wa serikali kuwataka wananchi kutumia gesi badala ya kuni na mkaa, imefanya tathmini ipi na kugundua kuwa wananchi wa kawaida wanaweza kumudu gharama za matumizi ya gesi?
Kama serikali ina nia ya dhati kukomesha matumizi ya kuni na mkaa, basi ipunguze gharama za nishati ya gesi na umeme ili hata mwananchi wa vijijini waweze kumudu hizo gharama. Vinginevyo, waliopitisha
Je, huu uamuzi wa serikali kuwataka wananchi kutumia gesi badala ya kuni na mkaa, imefanya tathmini ipi na kugundua kuwa wananchi wa kawaida wanaweza kumudu gharama za matumizi ya gesi?
Kama serikali ina nia ya dhati kukomesha matumizi ya kuni na mkaa, basi ipunguze gharama za nishati ya gesi na umeme ili hata mwananchi wa vijijini waweze kumudu hizo gharama. Vinginevyo, waliopitisha