E Ekitarangwe Member Joined May 29, 2008 Posts 13 Reaction score 0 Apr 22, 2009 #1 Haya wana jf kunaneno moja nataka munieleze matumizi yake. Nihivi Mh furani KAGONGA Wasichana wawili mjini Dar je mnapata picha gani?
Haya wana jf kunaneno moja nataka munieleze matumizi yake. Nihivi Mh furani KAGONGA Wasichana wawili mjini Dar je mnapata picha gani?
SMU JF-Expert Member Joined Feb 14, 2008 Posts 9,613 Reaction score 7,889 Apr 22, 2009 #2 Ekitarangwe said: Haya wana jf kunaneno moja nataka munieleze matumizi yake. Nihivi Mh furani KAGONGA Wasichana wawili mjini Dar je mnapata picha gani? Click to expand... Ekitarangwe, Hili ni jukwaa la lugha na hivyo nafanya masahihisho kidogo: 'Kunaneno' = kuna neno 'Munieleze' = mnieleze 'Nihivi' = Ni hivi 'Furani' = Fulani Hilo la 'Mh fulani kagonga wasichana wawili' nawaachia wataalamu wengine.
Ekitarangwe said: Haya wana jf kunaneno moja nataka munieleze matumizi yake. Nihivi Mh furani KAGONGA Wasichana wawili mjini Dar je mnapata picha gani? Click to expand... Ekitarangwe, Hili ni jukwaa la lugha na hivyo nafanya masahihisho kidogo: 'Kunaneno' = kuna neno 'Munieleze' = mnieleze 'Nihivi' = Ni hivi 'Furani' = Fulani Hilo la 'Mh fulani kagonga wasichana wawili' nawaachia wataalamu wengine.