jecz Senior Member Joined Jan 11, 2014 Posts 199 Reaction score 258 Jan 27, 2014 #1 nimekua nikitokwa na viupele kila ninaponyoa ndevu,naomba ushauri wenu kwani nimeletewa magic powder naogopa kuitumia nisije nikapatwa na janga zito!
nimekua nikitokwa na viupele kila ninaponyoa ndevu,naomba ushauri wenu kwani nimeletewa magic powder naogopa kuitumia nisije nikapatwa na janga zito!
silver25 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2010 Posts 743 Reaction score 44 Jan 27, 2014 #2 Majic Pawder inatumika kutolea Ndevu ni dawa mzuri kuhusu madhara nadhani ukifanya matumizi sahihi huwezi kuathilika ila ukifanya matumizi yasiyo sahihi kadhalika madhara lazima uyapate kama zilivyo chemical zingine mimi natumia mwaka wa tano sasa
Majic Pawder inatumika kutolea Ndevu ni dawa mzuri kuhusu madhara nadhani ukifanya matumizi sahihi huwezi kuathilika ila ukifanya matumizi yasiyo sahihi kadhalika madhara lazima uyapate kama zilivyo chemical zingine mimi natumia mwaka wa tano sasa