Natalaji muwazima..
Jamani kwa mtaalam anaejua namna nzuri ya matumizi ya matunda atuongoze hapa ya kwamba,
1. nimatunda yapi ambayo waweza kula kwa pamoja na yapi huwezi kula kwapamoja? mfano chungwa na tango haviendi pamoja.
2. pia je waweza kula matunda kama mlo wa asubuhi,mchana au jioni?
Naomba kuwasilisha.
Jamani kwa mtaalam anaejua namna nzuri ya matumizi ya matunda atuongoze hapa ya kwamba,
1. nimatunda yapi ambayo waweza kula kwa pamoja na yapi huwezi kula kwapamoja? mfano chungwa na tango haviendi pamoja.
2. pia je waweza kula matunda kama mlo wa asubuhi,mchana au jioni?
Naomba kuwasilisha.