kilimafedha
New Member
- Nov 11, 2019
- 2
- 0
Habari wadau,
Napenda nifahamu kuhusu matumizi ya kinyesi cha popo kama mbolea kwenye kilmo hasa cha mpunga. Je, naweza kuitumia kama aina gani ya mbolea; ya kupandia au kukuzia?
Je, nitumie kiasi gani kwa ekari?
Napenda nifahamu kuhusu matumizi ya kinyesi cha popo kama mbolea kwenye kilmo hasa cha mpunga. Je, naweza kuitumia kama aina gani ya mbolea; ya kupandia au kukuzia?
Je, nitumie kiasi gani kwa ekari?