Matumizi ya mbolea ya asili

Matumizi ya mbolea ya asili

kilimafedha

New Member
Joined
Nov 11, 2019
Posts
2
Reaction score
0
Habari wadau,

Napenda nifahamu kuhusu matumizi ya kinyesi cha popo kama mbolea kwenye kilmo hasa cha mpunga. Je, naweza kuitumia kama aina gani ya mbolea; ya kupandia au kukuzia?

Je, nitumie kiasi gani kwa ekari?
 
Popo kama popo?
1. Hiyo mbolea ina nini special?
2. Unaipata wapi kiasi cha kupiga ekari nzima?
 
Back
Top Bottom