K kilimafedha New Member Joined Nov 11, 2019 Posts 2 Reaction score 0 Jun 6, 2020 #1 Habari wadau, Napenda nifahamu kuhusu matumizi ya kinyesi cha popo kama mbolea kwenye kilmo hasa cha mpunga. Je, naweza kuitumia kama aina gani ya mbolea; ya kupandia au kukuzia? Je, nitumie kiasi gani kwa ekari?
Habari wadau, Napenda nifahamu kuhusu matumizi ya kinyesi cha popo kama mbolea kwenye kilmo hasa cha mpunga. Je, naweza kuitumia kama aina gani ya mbolea; ya kupandia au kukuzia? Je, nitumie kiasi gani kwa ekari?
HDMI JF-Expert Member Joined Mar 10, 2018 Posts 672 Reaction score 1,332 Jun 6, 2020 #2 Popo kama popo? 1. Hiyo mbolea ina nini special? 2. Unaipata wapi kiasi cha kupiga ekari nzima?