Matumizi ya mionzi katika uchunguzi wa kitabibu ina madhara kwa afya?

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Hili suala nimekuwa nikilisikia kwa muda mrefu kuwa matumizi ya mionzi kama vile X-Rays kwenye uchunguzi wa kitabibu ina madhara ki afya, uhalisia wake upoje?

 
Haishauriwi kurudia rudia XRAY, hata hizi CT SCAN na MRI , inadaiwa zinaua cell za mwili. Lakini hakuna jinsi maana madaktari wanategemea hivyo vipimo kwa ajili ya tiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…