Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,056
- 1,102
Habari zenu ndugu zangu. kuwekua na matumizi makubwa sana ya neno NDIO na NDIYO hapa mjini hata humu jf pia, ningependa kujua kama kamusi inatambua neno NDIO au NDIYO.. pia hata neno "Ndiye" ningependa kufahamu matumizi yake
mfano 1: mwizi wetu ___ yule?(ndo,ndiyo,ndiye,ndio)
mfano 2: ulikua unaulizia kwa mzee flani,___hapa sasa. (ndio,ndiyo,ndipo,ndo)
Nawasilisha
mfano 1: mwizi wetu ___ yule?(ndo,ndiyo,ndiye,ndio)
mfano 2: ulikua unaulizia kwa mzee flani,___hapa sasa. (ndio,ndiyo,ndipo,ndo)
Nawasilisha