Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Copy and paste
Sunday news ππ½ ya kuanzia siku π
Serikali ya mahodari inaendelea kupaiza uchumi! Sasa kuna soko la magendo (haikuanza leo ilianza 2018 walipopora fedha na kufunga maduka ya fedha)
Sasa eti serikali inapambana na soko hili
Ila ukweli ni huu (numbers donβt lie) ππ½
SASA
Manunuzi ya fedha za kigeni kupitia maduka ya fedha ππ½ $197.18 million
Mauzo ππ½ $86.98 million
Tukilinganisha December 31, 2018
Manunuzi ππ½$722.9 million
Mauzo ππ½ $415.2 million
Si hamtaki soko huria na mnajua kila kitu?! Haya pambaneni ila kwa data hii ni dhahiri thamani ya shilingi katika soko huria siyo hii wanayotutangazia - watu hawataki shilingi wanasaka π΅π΅ ila si kwa bei ya kupangiwa! π And thereβs nothing you can do about it zaidi ya wengi wape ππ½
Sunday news ππ½ ya kuanzia siku π
Serikali ya mahodari inaendelea kupaiza uchumi! Sasa kuna soko la magendo (haikuanza leo ilianza 2018 walipopora fedha na kufunga maduka ya fedha)
Sasa eti serikali inapambana na soko hili
Ila ukweli ni huu (numbers donβt lie) ππ½
SASA
Manunuzi ya fedha za kigeni kupitia maduka ya fedha ππ½ $197.18 million
Mauzo ππ½ $86.98 million
Tukilinganisha December 31, 2018
Manunuzi ππ½$722.9 million
Mauzo ππ½ $415.2 million
Si hamtaki soko huria na mnajua kila kitu?! Haya pambaneni ila kwa data hii ni dhahiri thamani ya shilingi katika soko huria siyo hii wanayotutangazia - watu hawataki shilingi wanasaka π΅π΅ ila si kwa bei ya kupangiwa! π And thereβs nothing you can do about it zaidi ya wengi wape ππ½