Matumizi ya r na l

AZIMIO

Senior Member
Joined
Jun 15, 2011
Posts
188
Reaction score
52
Najua itakuwa ngumu kueleweka kwa urahisi kwa sababu baadhi ya makabila hayawezi kutenganisha kati ya R na L.
Hivyo naomba mwenye utalaamu mzuri wa kuelezea aweze kunisaidia kwa faida yangu na wenginewengi, huwa napata tabu sana kwenye hizi herufi.Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…