Matumizi ya 'S' na 'X'

Yani huwa nachefukwa mie, mtu akinitumia kimeseji chenye ma xxx namchunia tu....
 
Na wengine kuchanganya herufi kubwa na ndogo
 
Mimi huwa siendelei kuwasiliana na mtu wa aina hiyoo maana mimi si mtoto
 
Naungana na mleta mada kuyachukia mabahau yanayojitoa ufahamu na kuanza kubananga lugha yetu adhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…