Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Kama picha zinavyoonyesha .. tusaidie kutambua matumizi ya sehemu hizi kwenye magari ya Toyota.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hiyo siyo kwa ajili ya navigation Ila ni sehemu ya kuingiza credit card ambazo ni prepaid ili kurahisisha ulipaji ushuru wa road toll...sasa mfano Japan kuna magari mengi mno na maeneo yenye road toll ni mengi pia hivyo unapofika kny road toll kuna scanner itakayosoma hiyo card na kukata tozo kny hiyo card bila ya wewe kutoa cash..unachotakiwa ukikaribia road toll ni kupunguza tu mwendo kisha card inasomwa na kuendelea na safari yako.Hiyo ETC ni Navigation.
Okay Mkuu nimekupata sawia.Mkuu hiyo siyo kwa ajili ya navigation Ila ni sehemu ya kuingiza credit card ambazo ni prepaid ili kurahisisha ulipaji ushuru wa road toll...sasa mfano Japan kuna magari mengi mno na maeneo yenye road toll ni mengi pia hivyo unapofika kny road toll kuna scanner itakayosoma hiyo card na kukata tozo kny hiyo card bila ya wewe kutoa cash..unachotakiwa ukikaribia road toll ni kupunguza tu mwendo kisha card inasomwa na kuendelea na safari yako.
Hiyo probox au succeed?Kama picha zinavyoonyesha .. tusaidie kutambua matumizi ya sehemu hizi kwenye magari ya Toyota. View attachment 803764View attachment 803766View attachment 803767
asanteMkuu hiyo siyo kwa ajili ya navigation Ila ni sehemu ya kuingiza credit card ambazo ni prepaid ili kurahisisha ulipaji ushuru wa road toll...sasa mfano Japan kuna magari mengi mno na maeneo yenye road toll ni mengi pia hivyo unapofika kny road toll kuna scanner itakayosoma hiyo card na kukata tozo kny hiyo card bila ya wewe kutoa cash..unachotakiwa ukikaribia road toll ni kupunguza tu mwendo kisha card inasomwa na kuendelea na safari yako.
NA HICHO KIDUDE CHA PEMBENI YA BUTTON YA KUSET MIRROR??Mkuu hiyo siyo kwa ajili ya navigation Ila ni sehemu ya kuingiza credit card ambazo ni prepaid ili kurahisisha ulipaji ushuru wa road toll...sasa mfano Japan kuna magari mengi mno na maeneo yenye road toll ni mengi pia hivyo unapofika kny road toll kuna scanner itakayosoma hiyo card na kukata tozo kny hiyo card bila ya wewe kutoa cash..unachotakiwa ukikaribia road toll ni kupunguza tu mwendo kisha card inasomwa na kuendelea na safari yako.
Cha kuweka coins kama sikosei.NA HICHO KIDUDE CHA PEMBENI YA BUTTON YA KUSET MIRROR??
Hahahhaaaa kama ulikua kwenye ubongo wangu. Tena coins za jiti jiti tu ndo zinakaaCha kuweka coins kama sikosei.
Cha kuweka coins kama sikosei.
Hahahhaaaa kama ulikua kwenye ubongo wangu. Tena coins za jiti jiti tu ndo zinakaa
anhaa sawaCha kuweka coins kama sikosei.
mm bado natatarika na jibu la coin naona hata mleta mada hataridhika, ngoja waje wataalam maana kila gari za miaka ya 2000 vipoanhaa sawa
NA HICHO KIDUDE CHA PEMBENI YA BUTTON YA KUSET MIRROR??
mm bado natatarika na jibu la coin naona hata mleta mada hataridhika, ngoja waje wataalam maana kila gari za miaka ya 2000 vipo
View attachment 1110020
Mkuu thanx lkn km njia ya kupitia huko kuset mirror NO, labda km spare ya switch nyiñgne. Nà hapo chini zipo space 2 kwa ajili hiyo, kunà kingine kinatatiza kwenye hand brake ni cha kutunzia nini?Hapana mkuu.. Hiki kinatumika kufungua compartment za pembeni.. Mfano kama hicho cha kuset vioo kikiharibika ili kukitengeneza inabidi kitolewe.. Kukitoa unaanza na hichi unachokiulizia.. Unakivuta kwa hapo kwenye kishimo kinatoa lock za juu halafu unaweza ingiza kidole au bisibisi kutoa hicho cha kucontrol vioo na kukirekebisha au magari mengine kama IST huwa kuna vitu zaidi kama relay ya kupandisha na kushusha taa za mbele.
Ni sehemu ya kufungua kirahisi ili utengeneze au uongeze kitu katika hizo slots