Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
nipo TZ mkuuUko wapi wewe?
sawa mkuumm bado natatarika na jibu la coin naona hata mleta mada hataridhika, ngoja waje wataalam maana kila gari za miaka ya 2000 vipo
View attachment 1110020
Kama upo sihihi iviHivyo vidude vya plastic nilidhani ni auxilliary ports tu. Incase unataka ongeza switch
Dah umeipatia vizuri.
USD 26 ebay, duniani kuna vitu vya ajabu sanaDah umeipatia vizuri.
Hii ni alama humaanisha Diff lock, hutumika katika barabara zenye changamoto sana na kwa muda mfupi sana.Je....alama hii hutumikaje unapotumia 4 wheel..??.
View attachment 1677899
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mkuu, hii ni AE100 eeh?Mkuu thanx lkn km njia ya kupitia huko kuset mirror NO, labda km spare ya switch nyiñgne. Nà hapo chini zipo space 2 kwa ajili hiyo, kunà kingine kinatatiza kwenye hand brake ni cha kutunzia nini?
Hongera kwako kwa kuijali JF
View attachment 1112978View attachment 1112980View attachment 1112981
Mkuu, hii ni AE100 eeh?
inakuja akilini hapo Mkuu, lkn vi mia vya TZ bado vinagoma
mimi nimeweka 500 500 za parkinginakuja akilini hapo Mkuu, lkn vi mia vya TZ bado vinagoma
Toyota wajanja sana. Wanatabia ya kushare parts kwenye models zao mbalibali. So unaweza kuta kwenye model moja kuna feature ambayo hapo kunakuwa button au switch fulani na kwenye model nyingine hakuna. Mfano gari za enzi hizo zilikuwa na switch ya antena.RugambwaYT
ni kweli Mkuu ni Corolla, wewe nakuogopa maana ni tabibu hasa wa haya magari toka engine hadi body, kwa faida ya wote hako ka container mpaka leo siukajua kazi yake
Mbele ya R kina kazi ganimm bado natatarika na jibu la coin naona hata mleta mada hataridhika, ngoja waje wataalam maana kila gari za miaka ya 2000 vipo
View attachment 1110020
hicho lilichopo mbele ya R ni switch ya side mirror, vile vioo vya pembeniMbele ya R kina kazi gani