#COVID19 Matumizi ya Tshs.1.3 Trilioni za UVIKO-19 zitangazwe kupitia TANEPS

#COVID19 Matumizi ya Tshs.1.3 Trilioni za UVIKO-19 zitangazwe kupitia TANEPS

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Kama ilivyo kwenye sheria ya manunuzi matumizi ya Tshs.1.3 trillioni ya UVICO -19 zitangazwe kupitia Taneps ili watu wenye sifa waombe na jukumu la Serikali liweni kusimamia ubora.

Nchi inayongozwa kwa sheria, taratibu na kanuni, kwa nini tukiuke sheria, taratibu na kanuni?.

Force account haipo kisheriana single source huwa ina viashiria vya rushwa.

Nashauri tufuate sheria katika suala hili.
 
Back
Top Bottom