Matunda aina ya Dragon

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Haya ni matunda ambayo yanapatikana sana Asia na pia America,

Ni matunda ambayo yana ladha kati kati ya pears na Kiwi Kwa wale waliowahi kula Kiwi fruit.

Haya matunda ni ghali sana na kuna baadhi ya Super Market huwa wanayaingiza kutoka nje ya nchi jasa South Africa au Egypt na unakuta tunda moja linaenda kwa sh 10, 000/

Kuyaotesha haya matunda inatumika Cuttings ambazo zinatolewa kwenye matunda yenyewe.

Yanaweza stawi sehemu kame ila ni bora kwa mwanzo yakapata maji ya kutosha.


Ni kilimo cha kuwekeza
 
Asante kwa taarifa
Tusubiri motivation speaker waje! [emoji344]
 
Wachina wanahangaika nayo Sana, inawezekana Yana virutubisho muhimu...

Nimeona miti kadhaa mitaani wenye nayo wanaitumia kama maua, sidhani kama wanayala hayo matunda wanayaona kama cactus...
 
Unaagiza ebay unaotesha unapanda ila si popote ulizia hali ya hewa na udongo zinaopendelea
Tatizo kuagiza mbegu kutoka nnje kunatakiwa vibari vingi na gharama sana labda uingize kwa njia za panya.
 
Wachina wanahangaika nayo Sana, inawezekana Yana virutubisho muhimu...

Nimeona miti kadhaa mitaani wenye nayo wanaitumia kama maua, sidhani kama wanayala hayo matunda wanayaona kama cactus...
Cactus wachina wanakula
 
Magazine Fire mkuu ukienda malls kubwa nunua tunda zipo namna ya kuvuna mbegu wenyewe ila zitazaw baada ya mia 5 hadi 9 ila ukinunua cutting uhakika 2 haddi 3 utatazslisha mingi
Ila baada ya miaka 7 wa mbinu ya kuvuna mbegu ( naitoa burre) utamwita baba mdogo
 
Tunda bongo elfu 12 matunda 10,120 ni ekari ,ukipiga mbinu hii nayotoa bure 1200000,ila miaka 6 kuendelea na yanavilia ukame kuliko alizet ila wachawi panda na ya kuzuia wachawi hilo muulize @Mzizimkavu na Mshana Jr mimi na mwaka naona mapicha ya kutisha nawauliza hawajibu ,mara nione mambo siyajui najiuliza how can i imagine nisicho kijua,na havihusiani nam kuna mtu mtabir alishika mkono wangu hakutabir ila akatabiria wenzangu ,mshana na mzizi sio matapeli wengine wa pime mwenyewe.l
Inaitwa pitaya tunda la bahati na utajiri.l
 
Hii kitu nilielimishwa na Mkena moja
Nikamuona Mchina MOJA analima on a commercail scale Zambia, kwa hapa kwetu nawafahamu wakulima wawili wapo Arusha moja ndio anafanya kibiashara mwingine ni mstaafu kaotesha tu kwake

Kwa nyie watu wa Arusha hii kitu demand yake ni kubwa saana hasa Kenya, nilishona pahali mtu kayaotesha sehemu kame saana

Ninayo miche michache nimeotesha huku Pwani ya Tanganyika ina mwaka na nusu, hope itanipa matokeo matunda
 
Arusha yana fahamika sana na hawa watu wa mbele
 
Haya Yanaota Tu Dodoma, Singida, Tanga,
Haya Ndiyo Furahisha M.....
 
Una point hapa ila hujaeleweka umeandika nini
 
Niliyaona supermarket Nairobi moja linauzwa ksh 690..about two weeks ago
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…