Matunda muhimu kula kuleni jamani matunda kwa afya zenu

Ahsante Mh. waziri na bajeti yako nitaipitisha tu.
Rais Mtarajiwa Mkereketwa_Huyu asante kwa kuipitisha Bajeti yangu ninashangaa nchini mwetu karibu Matunda hayo yote yapo lakini hatuli sijuwi kwanini? Tunayaogopa matunda utafikiri kituo cha Polisi ahhh? Kulikoni?
 
Last edited by a moderator:
hili tunda linaloitwa Kiwi lipo bongo kweli hili mkuu MziziMkavu? maana shidhani kama nimewahi kulisikia au kuliona tokea nizaliwe.
 
Last edited by a moderator:
Rais Mtarajiwa Mkereketwa_Huyu asante kwa kuipitisha Bajeti yangu ninashangaa nchini mwetu karibu Matunda hayo yote yapo lakini hatuli sijuwi kwanini? Tunayaogopa matunda utafikiri kituo cha Polisi ahhh? Kulikoni?


Umeona eheee. Sasa hapa kibarua cha kushawishi watu kula matunda unacho na ndiyo maana hiki cheo cha uwaziri wa afya kinakufaa sana.
 
Mkuu Mkereketwa_Huyu Member wengi humu ndani ni wavivu kula matunda basi hata kunipa neno (Like) wanashindwa ahhhhhh


Lol umenichekesha kweli, eti wanashindwa kukupa Like, basi pokea hiyo yangu kwa niaba yao :A S thumbs_up: Pengine wanakushangaa kwa nini unapenda matunda wakati wewe binaadamu na si ndege/nyani, si unajuwa wabongo walivyo, hata Kipanya anawashangaa kwamba binaadam kunywa maziwa tu inabidi ahamasishwe na Mh. waziri wa afya MziziMkavu a.k.a. serikali, inakuja kichwani kweli hii? Sie wengine tuna mazoea ya kunywa maziwa ya binadam ila hata ya ng'ombe kwa afya zetu tunakunywa hatusubiri hotuba ya Mh. waziri wa afya MziziMkavu (serikali) atuambie. Jamani tubadirikeni, kina Mama ongezeni bidii ya kutunyonyeshe jamani.
 
ukweli utabaki kuwa ukweli, matunda ndio chakula halisi cha kila kiumbe. hebu tutafakali kidogo zama za adam na hawa ilikuwa ni full matunda no ugali wala nyama. tuleni matunda kwa afya zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…