EZZ CHEZZ
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 1,230
- 1,352
Hello team msaada tafadhali.
Iko hivi, shambani kwangu bamia zinatoa maua vizuri tu. Tatizo ni kwamba maua yananyauka kabla ya wakati na hivyo yanapodondoka huacha matunda dhaifu ambayo hunyauka au kuoza bila kukua.
Tatizo itakuwa nini na nifanyeje kutatua. Pichani hapa chini ni mfano wa namna zinavyoning'ata.
Iko hivi, shambani kwangu bamia zinatoa maua vizuri tu. Tatizo ni kwamba maua yananyauka kabla ya wakati na hivyo yanapodondoka huacha matunda dhaifu ambayo hunyauka au kuoza bila kukua.
Tatizo itakuwa nini na nifanyeje kutatua. Pichani hapa chini ni mfano wa namna zinavyoning'ata.