Matunda ya Tikiti kuoza yakiwa bado madogo

Kwa mimea inayotegemea uchavushaji wa wadudu ni vyema dawa apulize jioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha hizo hapa mkuu
 

Attachments

  • 20190112_165436.jpg
    256.5 KB · Views: 55
Hali halisi ya mimea shambani ndio hii
 
Nitafanya kilimo cha tikiti kama ziada nikiwa na vitu mbadala vya kunipa hela. Unateketeza 5m alafu ukute ndo umechukua mkopo saccos... Lazima uugue kwanza
 
Nitafanya kilimo cha tikiti kama ziada nikiwa na vitu mbadala vya kunipa hela. Unateketeza 5m alafu ukute ndo umechukua mkopo saccos... Lazima uugue kwanza

Hilo ni jambo muhimu sana inatakiwa watu walizingatie.

Kuna jamaa moja nilimkuta kwenye duka la pembejeo; nimkulima mzoefu wa matikiti, lakini ilifika na yeye yakagoma. alikuwa metumia pesa nyingi. kwa sababu alikuwa hana shughuli ya kumuingizia pesa ikabidi auze shamba ili aendlee kulima na kulipa madeni.
 

Watanzania wengi wanadanganywa na motivational speakers wanaokuja na maelezo matamu ya utajiri lakini hawana uhalisia
 
mkuu mimi lishawahi kutokea tatizo kama hilo ndan kulikuwa na funza.tatizo ni nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni inzi. kuna nzi fulani hutaga mayai kwenye tunda baada ya mda yale mayai yanakuwa funza amabao hutoboa tunda.
Suluhisho kila unapoona maua yametoa matunda inabidi upige dawa. Binafsi nime tumia dawa aina ya cutter na matokeo ni mazuri.

Ili kudhibiti hao inzi kuna vikopo fulani unaninginiza shamba kwa ajili ya kuwanasa hao inzi. nimefunga hivyo vikopo pia.
 
shukran mkuu....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…