Matunda ya maono mazuri ya gwiji wa siasa za upinzani nchini (Mwamba) Mh. Freeman Aikaeli Mbowe, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema kuwekeza kwa Rasirimali watu haswa wasomi vijana leo imekuwa na faida kubwa kwa nchi kutoa viongozi wengi vijana.
Ikumbukwe ni yeye aliyeanzisha mpango wa kutembelea vyuo vikuu mbalimbali mwanzoni wa miaka 2000 na kushawishi vijana kujiunga na chadema. Hakuona shida kutoa fedha na mali zake kuwa-support kisiasa ndiyo maana leo ccm wanavuna kilichopandwa kwa kuteuwa ma-dc wengi waliopita kwenye mikono yake ya uongozi.
Leo baadhi ya Mawaziri, Manaibu Waziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa na Ma-dc wengi wamepikwa kwenye mikono yake. Huwezi kumtaja wanasiasa kama Mh. Zitto Zuberi Kabwe, HalimaMdee, Dr. Vicent Mashiji, David Kafulila,Juliana Shoza, Patrobas Katambi, Peter Lijuakali, Prof. Kitila Mkumbo, David Silinde, Mwita Waitara, Cecil M wambe, Pauline Gekul n.k wote kwa sehemu kubwa mwamba kahusika kawapika kisiasa.
Ikumbukwe ni yeye aliyeanzisha mpango wa kutembelea vyuo vikuu mbalimbali mwanzoni wa miaka 2000 na kushawishi vijana kujiunga na chadema. Hakuona shida kutoa fedha na mali zake kuwa-support kisiasa ndiyo maana leo ccm wanavuna kilichopandwa kwa kuteuwa ma-dc wengi waliopita kwenye mikono yake ya uongozi.
Leo baadhi ya Mawaziri, Manaibu Waziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa na Ma-dc wengi wamepikwa kwenye mikono yake. Huwezi kumtaja wanasiasa kama Mh. Zitto Zuberi Kabwe, HalimaMdee, Dr. Vicent Mashiji, David Kafulila,Juliana Shoza, Patrobas Katambi, Peter Lijuakali, Prof. Kitila Mkumbo, David Silinde, Mwita Waitara, Cecil M wambe, Pauline Gekul n.k wote kwa sehemu kubwa mwamba kahusika kawapika kisiasa.