Matunda yasiyo na mbegu

yasiyokuwa na mbegu kivipi? Au ukiwa unakula hilo tunda ndo usikute mbegu zake kwa ndani kama unavyokula chungwa?

mi naona mjadala ni huu......kwamba wakati unakula.....basi hukuti mbegu ndani.....labda tuanzie hapo......
 
Naombeni anayejua matunda aina tano yasiyo na mbegu
1.Ndizi
2.
3.
4.
5.
huna kaz ya kufanya hebu ulza maswal ya msingi, then n mwalm nan kaku2ma hayo? Ulza v2 vya kujenga utasaidiwa
 
huna kaz ya kufanya hebu ulza maswal ya msingi, then n mwalm nan kaku2ma hayo? Ulza v2 vya kujenga utasaidiwa

wewe 0715 hapa ni jf kila m2 ana uhuru wa kuuliza swali lolote aweze kujibiwa we kama limekushinda piga kimya
 
mi naona mjadala ni huu......kwamba wakati unakula.....basi hukuti mbegu ndani.....labda tuanzie hapo......

mimi mwenyewe nafikiria hivyo na ndo nahisi muanzisha thread naye alifikiri hivyo na ndo maana alianza na ndizi...jingine ni mfulusaji,nanasi...
 
Na hakuna tunda ambalo kwa uasilia wake halina mbegu. Kitu chochote chenye kutoa ua kina mbegu.

Nashukuru kwa angalizo mkuu.
Lakini kizazi cha ndizi hakiendelezwi kwa mbegu japo hizo mbegu hafifu zipo!
Siku hizi yapo matuda mengi tu yasiyokuwa na mbegu kwa sababu tecnholojia imetumika yasitoe mbegu.., mfano machungwa, chenza, peas n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…