Pale wazazi wametengana na mtoto bado mdogo ,baba wa mtoto anatakiwa atoe kiasi gani cha pesa kwa ajili ya matumizi ya mwanae kwa mujibu wa sheria
cha msingi ni makubaliano kulingana na kipato cha baba,ila inapaswa baba awahudumie watoto wake hadi pale wanapotimiza miaka 7.
Baada ya hapo wanahudumiwa na nani?
Poor Tanganyika my lovely country, ndio maana kumejazana watoto mitaani.