sam315
Member
- Sep 22, 2021
- 9
- 29
Hello wa JF
Mimi ni mkaka nina miaka 33, nina elimu ya chuo nimemaliza 2011, nimejiajiri nipo Dar.
Lengo la kuja hapa ni kuweka bayana kuwa nahitaji niwe na mahusiano na mwanamke aliyepevuka (kifupi aliyenizidi umri).
Naamini wapo wanawake ambao wanahitaji mtu wa kuwasikiliza, kuwabembeleza, kuwapetipeti, kuwapa kampani kwenda sehemu tofauti tofauti pamoja na kile chakula chetu cha usikuuu. Usijali mkaka nipo free bado sijafungamana na binti wa mtu.
Sina mambo mengi, kikubwa mm ni mtaratibu na muelewa sana... mengine yatafahamika tukishakutana DM.
Hoping to meet you soon
XOXO
Mimi ni mkaka nina miaka 33, nina elimu ya chuo nimemaliza 2011, nimejiajiri nipo Dar.
Lengo la kuja hapa ni kuweka bayana kuwa nahitaji niwe na mahusiano na mwanamke aliyepevuka (kifupi aliyenizidi umri).
Naamini wapo wanawake ambao wanahitaji mtu wa kuwasikiliza, kuwabembeleza, kuwapetipeti, kuwapa kampani kwenda sehemu tofauti tofauti pamoja na kile chakula chetu cha usikuuu. Usijali mkaka nipo free bado sijafungamana na binti wa mtu.
Sina mambo mengi, kikubwa mm ni mtaratibu na muelewa sana... mengine yatafahamika tukishakutana DM.
Hoping to meet you soon
XOXO