Matured born again christian men for marriage

Matured born again christian men for marriage

girem

New Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
1
Reaction score
87
Naishi Dsm Tanzania

  • Umri wangu ni 35s
  • Mwajiriwa sekta binafsi
  • Mkristo, pentecoste

Looking for a matured born again christian man who is real tired of being single and he is ready for commited relationship then a holy christian marriage.

  • Must be above 35s but not above 45.
  • Independent, working, financially stable, responsible
  • Awe mkweli na dhamiri ya kweli
  • Awe na hofu ya Mungu, muungwana na huruma.

Seriously only PM.
 
Naishi Dsm Tanzania
Umri wangu ni 35s
Mwajiriwa sekta binafsi
Mkristo ,pentecoste
Looking for a matured born again christian man who is real tired of being single and he is ready for commited relationship then a holy christian marriage
Must be above 35s but not above 45
Independent,working,financially stable ,responsible
Awe mkweli na dhamiri ya kweli
Awe na hofu ya Mungu ,muungwana na huruma .
Seriously only pm.
Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana na nia, dhamira na haja ya moyo wako. Hitaji lako likapate kibali na kutimia sawa sawa na mapenzi ya Mungu.🐒

Mungu akubariki sana
 
Unafikiri kuna mwanaume amefika 35 na yupo single? ni either hataki kuoa au hayupo tayari
tofauti sana kwenu mnachezea sana bahati ujanani uzeeni mnazitafuta

anyway mjilipue vijana ila humu waoaji hawapo
 
Pm kuna nini kwani mbona ghafla sana muheshimiwa 😆😆
Relax madam,
ni katika jitihada tu za kuhakikisha anafanikiwa, maana ameongea kwa uchungu sana mpaka nimesita kumfuata pm kwa ushauri na mawaidha zaidi 🐒
 
Hicho kipengele cha financially stable ndo wengi kinatutoa KO.
 
Naishi Dsm Tanzania
Umri wangu ni 35s
Mwajiriwa sekta binafsi
Mkristo ,pentecoste
Looking for a matured born again christian man who is real tired of being single and he is ready for commited relationship then a holy christian marriage
Must be above 35s but not above 45
Independent,working,financially stable ,responsible
Awe mkweli na dhamiri ya kweli
Awe na hofu ya Mungu ,muungwana na huruma .
Seriously only pm.
Nyie born again si mnasemaga bwana hua anawaonyesha mume/mke. Vipi wewe hujaonyeshwa mpaka unakuja kutafuta humu duniani..? Na je ukimpata mwenye hivyo vigezo utaenda tena kuomba uonyeshwe kama ni yeye au ndio utabeba huyo huyo?
 
Punguza dharau
Heshimu wanaume
Acha u much know na kujifanya kwamba unaweza kila kitu mpaka kuwatoa akili wanaume ambao wamekuzidi vitu vingi
Katika hao kuna wanaotafuta mke
Acha kuwa selective
Usidharau watu

Kuna wadada wawili nawajua wamezaliwa maisha bora tu wana hizo tabia hapo juu hawana waume hadi leo wako kwenye age 30s
 
Naishi Dsm Tanzania
Umri wangu ni 35s
Mwajiriwa sekta binafsi
Mkristo ,pentecoste
Looking for a matured born again christian man who is real tired of being single and he is ready for commited relationship then a holy christian marriage
Must be above 35s but not above 45
Independent,working,financially stable ,responsible
Awe mkweli na dhamiri ya kweli
Awe na hofu ya Mungu ,muungwana na huruma .
Seriously only pm.
Upate hitaji la moyo wako. Kwani ubao unasoma ngapi ngapi?
 
Back
Top Bottom