Maweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee............Umri wangu umepita vigezo vyake mama yangu
Umri wangu umepita vigezo vyake mama yangu
kuna mdada ni rafiki yangu ana mtoto,ni mwalimu,ni graduate,mtaratibu na anaimba kwaya,aliolewa wakaachana na mume wake!nimekaa nae miaka karibu sita namfahamu vizuri na katika miaka yote hiyo huwa najiambia mume wake hakujua ameachana na lulu kiasi gani!unaweza kunipm kwa taarifa zaidiNawasalimu Wapendwa wanajamii,
Mimi ni mkaka/Mbaba wa miaka 38 na ushehe, mrefu kiasi na maji ya kunde. Nina maisha yangu na si tegemezi.
Ninahitaji mama/dada aliepevuka kwa akili anaejua maisha maana yake nini na 'Muogopa Mungu', Kabila na ukoo sio ishu sana kwa sasa. Elimu ninajua itakuwa 'inatosha tu' kwa wengi wanaopita JF.
Kwa aliye na mtoto itapendeza zaidi
hivi kwa nini wanaume waliozidi 35 humu wanataka binti mwenye mtoto tayari
Ukikua utajua tu . . . . . . .!!
hizi toto less than 25 ni upuuzi mtupu badala mjenge maisha mnaanzia urafiki-uchumba -uhusiano-ndoa outing nyingi ufujaji wa hela mwingi khaaa ukumpata huyu direct ni mke na maendeleo kama ana akili timamu piahivi kwa nini wanaume waliozidi 35 humu wanataka binti mwenye mtoto tayari
swali hapo kwenye 0-4yrs ulikuwa na nani?Bado unaendelea kutafuta au umeshapata. Niko mimi nina mtoto Mmoja ana miaka 4.
karibu kwa mazungumzo zaidi
hivi kwa nini wanaume waliozidi 35 humu wanataka binti mwenye mtoto tayari