Matusi ya kingereza VS Kiswahili

Ni vyema na busara zaidi kuchukua/kutumia muda mwingine kusoma walau posti na ku-like ili kuwapa hamasa wengine....
Nimeupenda ushauri wako japo waweza kudhihakiwa
 
Usiogope mkuu BAN yenyewe kwa makadirio itakuwa ya siku 3 tu [emoji23]
Naweza ugua kwa kuikosa jf kwa siku tatu.
Sijawahi pitisha zaidi ya masaa matatu pasipo kichungulia humu ndani
 
Hujawahi kuipata BAN?
Niliwahi kula life ban mwaka 2010, nilipo gonganisha wadada wawili kwenye makatiko....
Na mmoja kati ya hao, alikua ni kiranja wa hapa.....[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hapo ndipo alipo nikomesha kwa ban ya milele....[emoji23] [emoji23]
 
Niliwahi kula life ban mwaka 2010, nilipo gonganisha wadada wawili kwenye makatiko....
Na mmoja kati ya hao, alikua ni kiranja wa hapa.....[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hapo ndipo alipo nikomesha kwa ban ya milele....[emoji23] [emoji23]
hahahaah duuh kweli kila mtu na ofisi yake,life ban ni balaa...bado yupo huyo kiranja? haahah aliona meseji inbox nini?
 
hahahaah duuh kweli kila mtu na ofisi yake,life ban ni balaa...bado yupo huyo kiranja? haahah aliona meseji inbox nini?
Bado yupo mkuu...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bilashaka alichungulia nikiwa nazoza kule pm....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Nilikua namwaga madini ili nipate utelezi...[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Mm napenda kutumia HOLY SHIT...au PIECE of SHIT...nikikwambiya hivyo..kaa mbali na mm
 
Watu tunatofautiana sana kwenye kufikiri huyo asilaumiwe ndo kafikia ukomo akaona acha na yeye apost ili aonekane na yeye kaandika
 
Niliwahi kula life ban mwaka 2010, nilipo gonganisha wadada wawili kwenye makatiko....
Na mmoja kati ya hao, alikua ni kiranja wa hapa.....[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hapo ndipo alipo nikomesha kwa ban ya milele....[emoji23] [emoji23]
Pole asee
Ukafungua ii nyingine?
Ile ya life ban inaitwaje?
 
Ukitukanwa kizungu... you asshole haiumi sanaa... Ila tukanwa kiswahili.... wewe mku*?n*du... daaah, unaweza kutapika!! [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…