Niliku-PM mbona kimya, tuko pamoja mtu wetu! Binafsi sijuhi kitu kinachoitwa tusi, naamini mtu yeyote anayo haki ya kunisema lolote nami haki yangu ni kuamini au kutoamini alichosema. Tuseme ameniambia **#@# ya mama yangu..nami huwa najiambia hivi: mama angekuwepo angemuonyesha **#@ yake akaona kuwa ni kiungo cha mwili tu kama jicho, mkono au ulimi. Mimi sina hata sababu ya kupigana.
Sante kwa kunisaidia kuwafafanulia, manake wanawaza kufanya matusi tu...No... Anafanya TAHAJUDI...............
ni error ya typing babu asprin.nilikuwa namaanisha lazima kuwaheshimu.Hapo kwa red sijui nimesoma vema au ni haya mawani yangu..........Damn uzee bana!
Khaa! Kwani mkongojo una uhusiano wowote na matusi au kufanya?mkongojo???? matusi mengine hayo....lol
Hahahahah.....gotchaa! Na alaaniwe asiyewaheshimu wazazi, hasa mama yake!ni error ya typing babu asprin.nilikuwa namaanisha lazima kuwaheshimu.
Hahahahaha! Afadhali na wewe umeona... Mi nimeshtuka nikataka kuuliza sema nimeogopa laana ya babu!mkongojo???? matusi mengine hayo....lol
Sasa wewe umeogopa kuulizia mkongojo au kuiulizia laana inayoletwa na mkongojo!Hahahahaha! Afadhali na wewe umeona... Mi nimeshtuka nikataka kuuliza sema nimeogopa laana ya babu!
Yes! Ni huko huko!hapa mahali nimewahi kupasikia...........ni kule TMK Chang'ombe au? tuelekezane mkuu........... si unajua ndio maujanja hayo?
Khaa! Kwani mkongojo una uhusiano wowote na matusi au kufanya?
Dah! Kama mkongojo unahusika na matusi basi babu ntajikongoja. Ntakula papa kwa wingi ili niimarishe nguvu za misuli.........Siamini kama Papa naye ni matusi.....mikongojo na tahajudi za vitendo?
matusi yanahusika aisee????lol
Hahaha! Nimeogopa kuulizia mkongojo...hivi kumbe kuna laana inayoletwa na mkongojo eeh?..ntakuja tuition ya hilo somo?Sasa wewe umeogopa kuulizia mkongojo au kuiulizia laana inayoletwa na mkongojo!
Hauna uhusiano...lolKhaa! Kwani mkongojo una uhusiano wowote na matusi au kufanya?
Dah! Kama mkongojo unahusika na matusi basi babu ntajikongoja. Ntakula papa kwa wingi ili niimarishe nguvu za misuli.........Siamini kama Papa naye ni matusi.....
Karibu!Nitaku-PM tujadili kidogo................
Nimekujibu.Nimeshaku-PM
Ataitwa Papa mdogo.......................au?