Mkuu kwani barua imeandikiwa makao makuu au hapa?Pale mkabala na MaVPN tower.
Achana na maua. Njoo inbox 0716676060 nikakuweke mjegejoHope Nyerere Day inakwenda vizuri kwa wahangaikaji juani kama mimi na mliopo majumbani kama siku ya mapumziko.
Nmepita barabara ya mwenge ubungo leo,hapa mkabara na mawasiliano tower na hostel za magufuli maua haya sasa yamekuwa syo maua tena bali yamekuwa marefu kwenda juu na chini yameziba kabisa hali inayoweza kupelekea vibaka kujificha humo na kuvi.zia sisi watembea kwa miguu ndyo sana tuko na hatari dhidi ya ukwapuzi unaofanywa na vibaka hapa mjini.
Unashani kila mtu anapita maeneo hayo, sio kila mada ni yakuweka humu, Tanzania ina watu zaidi ya 60m. Walioko maeneo tofauti tofauti, weka picha itapendeza zaidi.Hope Nyerere Day inakwenda vizuri kwa wahangaikaji juani kama mimi na mliopo majumbani kama siku ya mapumziko.
Nmepita barabara ya mwenge ubungo leo,hapa mkabara na mawasiliano tower na hostel za magufuli maua haya sasa yamekuwa syo maua tena bali yamekuwa marefu kwenda juu na chini yameziba kabisa hali inayoweza kupelekea vibaka kujificha humo na kuvi.zia sisi watembea kwa miguu ndyo sana tuko na hatari dhidi ya ukwapuzi unaofanywa na vibaka hapa mjini.
Aisee ,imekuwaje Tena ndugu Makame?Achana na maua. Njoo inbox 0716676060 nikakuweke mjegejo
Yaani kula andazi na enegy drink ndyo utaniweza na ukizingatia sijatoboa malinda ase?Achana na maua. Njoo inbox 0716676060 nikakuweke mjegejo
Kama hupiti hapo unadhani inakuhusu nini?Unashani kila mtu anapita maeneo hayo, sio kila mada ni yakuweka humu, Tanzania ina watu zaidi ya 60m. Walioko maeneo tofauti tofauti, weka picha itapendeza zaidi.
Focus kwenye uzi wako.Ukijielekeza huko unaonesha unavyofaa kuitwa "Bw.Myumbo"!Yaani kula andazi na enegy drink ndyo utaniweza na ukizingatia sijatoboa malinda ase?
Utaambiwa faida inayopatikana kutokana na maua ni kubwa kuliko hasara watakaykusababishia vibakaHope Nyerere Day inakwenda vizuri kwa wahangaikaji juani kama mimi na mliopo majumbani kama siku ya mapumziko.
Nmepita barabara ya mwenge ubungo leo,hapa mkabara na mawasiliano tower na hostel za magufuli maua haya sasa yamekuwa syo maua tena bali yamekuwa marefu kwenda juu na chini yameziba kabisa hali inayoweza kupelekea vibaka kujificha humo na kuvi.zia sisi watembea kwa miguu ndyo sana tuko na hatari dhidi ya ukwapuzi unaofanywa na vibaka hapa mjini.
At leastNimesikia kilio chako, nitainunua hiyo barabara niirekebishe ili muwe mnalipia dola 10 kupita.
Bila picha ni uzushi!
Hayo marinda unayo?Yaani kula andazi na enegy drink ndyo utaniweza na ukizingatia sijatoboa malinda ase?
Yaani kabisa umeona ni tatizo hadi unaleta humu. Nyie ndo mnajengaga nyumba mnakata miti yote na hampandi hata mti mmojaPicha kesho asubuhi, nilipita chap sana
Tatizo hujaona,ikiwa nia ni kupanda miti kwanini wasipande miti? Au hujui tofauti ya namna ya upandaji wa miti na maua?Yaani kabisa umeona ni tatizo hadi unaleta humu. Nyie ndo mnajengaga nyumba mnakata miti yote na hampandi hata mti mmoja