Maua Yangu kwa moyo mkunjufu kabisa nayamwaga kwa Kharid Aucho "the tank"

Unalazimisha furaha
Saivi mashabiki wa simba kila thread wanavizia kuprovoke japo waonekane wapo....tuwahurumie na tuishi nao kwa upendo maana ni wagonjwa.
Pia washaurini wakapimwe makasiriko kwenye vituo vya afya vilivyoenea nchi nzima.
 
Akikutana na mzamiru anakaa pembeni yule alifaa awe mlinzi ule mwili sio wa mpira.
 
Saivi mashabiki wa simba kila thread wanavizia kuprovoke japo waonekane wapo....tuwahurumie na tuishi nao kwa upendo maana ni wagonjwa.
Pia washaurini wakapimwe makasiriko kwenye vituo vya afya vilivyoenea nchi nzima.
Ni wa kuwapuuza tu hao hawana la maana aisee

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…