Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
TuwaombeeKunani Tanga‽?
Kwa zaidi ya wiki nne sasa kumekuepo na mauwaji ya kutisha sana wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba zaidi ya Watu wanne wameshauwawa kwa nyakati tofauti huku wauwaji wakiwapora victims wao except tukio la Jana la kuuwawa kwa Mlinzi na wauwaji kutokuchukua kitu chochote.
Polisi Lushoto mjini wanachofanya ni kufanya doria ya kuzunguka au kupita mara moja kwa gari Yao Kisha kurudi kituoni kulala.
Nadhani kwa mtazamo Wangu, Kuna umuhimu wa kutumia Teknolojia badala ya kutumia njia very local za gari.
Hakuna popote Hadi sasa imetolewa taarifa kuhusu mauwaji haya. Tunaitaka Polisi kuacha siasa kwenye uhai wa watu.
Basi Wacha wauwane Hadi siku akiuliwa AskariUgumu na kupanda kwa gharama maisha hupelekea kuongezeka kwa matukio ya kihalifu popote pale.
Nimesema Lushoto mjiniWilaya ya Lushoto ni kubwa, je ni maeneo gani hasa yameathiriwa na hayo matukio
Greatest Of All Time hio hapoPolisi Lushoto mjini wanachofanya ni kufanya doria ya kuzunguka au kupita mara moja kwa gari Yao Kisha kurudi kituoni kulala.
Poleni sana, huko nimekaa sana napafahamu kuanzia Ubiri, Dochi, IJA, mpaka town...enzi hizo sikukuu tunaenda the hub clubGreatest Of All Time hio hapo
Hali inazidi kuwa mbaya sanaHizi habari hata mimi nimezisikia, Polisi waache masihara kabisa,Hili jambo lifanyiwe kazi haraka sana.
Tulia tena??KWANI TULIA ANAWEZA KUONGOZA NCHI?