Mauaji ya kimbari yanaendelea huko old traffold

Mauaji ya kimbari yanaendelea huko old traffold

Utopologist

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2021
Posts
998
Reaction score
2,506
Mpaka sasa dakika ya 60 keshakula mtu tayari hamsa

2975105_1635087588053.png
 
Uwanja unaanza kuwa mtupu dakika ya 65 🤣🤣

Kama Ole anajiheshimu atangaze kujiuzulu kwenye post match interview
 
Hawa liver ni wajinga,mtu kaishaelekea kibla,badala ya kupiga nyingi,hawa kenge ilibidi wafe hata 10
 
Sipati picha wewe huyo huyo ni manchestar halafu wewe huyohuyo ni Simba
 
Back
Top Bottom