Ni mkuu wa mkoa wa ARUSHA amesema kwamba mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha uhasibu yalipangwa na baadhi ya wanasiasa ili kujitaftia umaarufu katika chuo hicho.Akizungumza na waandishi wa habari amesema kwamba kutokana na baadhi ya wananchi waliohojiwa wamesema kwamba mauaji hayo yalipangwa.