Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
jiulize kwanini afanye tukio apo na si sehemu zingine ,unaweza kuwa alikuwa anawafahamu hao askariKweli vifo vya askari wetu ni jambo linalomsikitisha kila raia mpenda amani, lakini kikubwa ninachokiona hapa na hasa hii awamu ya tano ni kiongozi mkuu kutopenda ushirikiano ulikuwa unasaidia kupatikana taarifa kati ya police na raia. Tumeona rais aliyotumia nguvu nyingi kuzuia police jamii wakati hilo liliwekwa kwa ajili ya kupunguza uhalifu kama huo
Hili la kutaka kumkamata akiwa hai kuna aliejaribu lakini ikashindikana baada ya kula ya pajaWanabodi, katika bandiko hili, niliilaumu amri hii ya JPM, lakini tukio la leo, la kichaa mmoja kutuulia polisi wetu 3 na mlinzi mmoja, leo sasa ndio nimegundua JPM aliona mbali.
Ningekuwa mimi ndio kiongozi wa operation ile, ningetumia snipers kumshoot strategic areas to destabilize him, ili abaki hai kwanza, and they make him talk before they are done with him ili tujue the motive and the ring. Kitendo cha kumalizana nae, there and then, then police have lost everything.
RIP askari wetu wa polisi, RIP Mlinzi wa kampuni binafsi, na pia RIP Jambazi, Gaidi, besides everything, he was a human being, he deserves some dignity!. Na kwa msio jua, hata Osama, pamoja na ufirauni wake wote aliofanya kwenye September 11, baada ya kuuwawa kikatili, mwili wake ulioshwa Kiislamu na kuswaliwa na Sheikh, kisha alizikwa Kiislamu na kutazamishwa kabila!.
Japo JPM, haupo nasi, lakini uliona mbali, amri yako ndio imeanza kutekelezwa, nakuomba Rais Mama Samia, ili kumuenzi JPM, wapandishe vyeo askari hao mashujaa.
P
Polisi wengewe sasaPolisi wamemmaliza kuficha ushahidi....Jamaa inasemekana amezulumiwa Madini Dhahabu na askari.
Askari wetu bado walikuwa vijana tuu mungu awalaze pahali pemaTumuombe rais Mama Samia aunde Tume huru kulichunguza hili tukio. Inawezekana ni kweli jamaa alikuwa provoked, due to provocation akapata pseudo insanity, ndio akawawasha polisi waliomprovoke na kuzichukua silaha zao na kuwa target polisi tuu!.
Niliwahi kushauri
IGP Kamanda Sirro, Usiruhusu Vifo Vya Uzembe Kama Huu Kuchafua Jeshi Letu Safi la Polisi!.
Wanabodi, Hii ni kama barua ya wazi kwa mkuu mpya wa jeshi letu la Polisi, IGP, Kamanda Simon Sirro, kutoka kwa raia mwema, anayemtakia mafanikio mema katika majukumu yake kama IGP mpya, nikimsisitiza karma ya shedding an innocent blood under any circumstances, haijawahi kumwacha mtu salama...www.jamiiforums.com
Kwa vile tayari kuna tuhuma za polisi kuhusika, you can't be a judge on your own case!.
RIP Askari wetu.
RIP Mtuhumiwa.
P.
Wewe ndo uko shallow,unachanganya bandiko la 2017 na la janaNdugu
nasikitika kukuambia kuwa uko very shallow na hii habar ya ugaidi mana unasema cjui majambazi wakat alikuwa mmoja
pili unaongea pumba , hakuna uhalisia wowote eti polisi wapewa license to kill wakati kila siku wanaua majambazi na huyo jamaa kauwawa .
katika uzi uloandikwa hauna kichwa wala miguu ni huu
Kuwa busy na vitu vingine
Muheshimiwa nakubaliana na wewe kabisa, ila sio kwa Polisi crush program miezi tisa pale Moshi. Kama watapewa mafunzo ya maana na wakawa na uwezo mzuri wa kufanya maamuzi hapo sawa.Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?.
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?,
Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.
Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?.
Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefu Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.
Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?.
Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!
RIP Askari Wetu.
Nini Kifanyike? .
Ijumaa Kuu Chungu!.
Paskali
Update 1.
Thanks very objective.
Paskali
Update 2 ya michango very objective
Thanks kwa mchango huu, very objective
Paskali
Update 3.
Huu ni mchango very objective
Thanks for this.
Paskali
Ushauri wa bure kwako, ukifungua bandiko lolote, kitu cha kwanza kusoma baada ya kichwa cha habari, ni tarehe ya bandiko!. Usiparamie paramie tuu kujibu!.Ndugu
nasikitika kukuambia kuwa uko very shallow na hii habar ya ugaidi mana unasema cjui majambazi wakat alikuwa mmoja
pili unaongea pumba , hakuna uhalisia wowote eti polisi wapewa license to kill wakati kila siku wanaua majambazi na huyo jamaa kauwawa .
katika uzi uloandikwa hauna kichwa wala miguu ni huu
Kuwa busy na vitu vingine
Comment bola Sana kwangu bg upMatukio yanayotokea huko Pwani ni asilimia 100 ugaidi. Kitu cha kushangazaa ni hawa magaidi kuua na kuchukua silaha je wanamipango gani na hiyo silaha. Serikali isichukulie suala hili mzaha ama ujambazi wa kawaida kwani tunatakiwa tujifunze kutoka Nigeria jinsi Boko Haram ilivyoanzishwa. Mkoa wa pwani unapakana na bahari ya hindi na mnavyoelewa kuna tatizo la magaidi Kenya na Somalia je serikali inatathimini vipi watanzania wangapi wamejaribu ama wamejiunga na vikundi hivyo vya kigaidi na kurudi hapa nchini. Leo hii tunaona nchi za ulaya kuna vijana waliokuwa wamejiunga na Islamic State huko Syria wamerudi ulaya na kuanza kufanya ugaidi. Tuangalie suala la uchumi pia sasa hivi sisi na majirani zetu tuko kwenye vita vya kiuchumi katika ujenzi wa bomba la mafuta, reli na utalii majirani zetu wameonekana sio salama na Tanzania imeonekana ni nchi salama kunauwezekano wa hawa majirani zetu wakatumia watu wabaya ili Tanzania isionekane nchi salama,
Serikali ilichukulie hili suala very very serious kabla halijawa out of control.
Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?
Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.
Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?
Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefu Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.
Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?
Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!
RIP Askari Wetu
Nini Kifanyike?
Ijumaa Kuu Chungu!
Paskali
Update 1
Thanks very objective.
Paskali
Update 2 ya michango very objective
Thanks kwa mchango huu, very objective
Paskali
Update 3.
Huu ni mchango very objective
Thanks for this.
Paskali
Retaliation, kutokana na uonevu wa polisi, wewe Paskali unalijua kabisa, ndiyo maana aliwaacha mamia ya watu bila ya kuwadhuru, na akasikika akisema anawatafuta polisi (wala siyo JWTZ), yeye ni polisi tu. Polisi mmezidi kuonewa, na watu wana hasira na uonevu wenu, hasa huyo SIRRO (Zero) ambaye hadi sasa yupo tu hataki kujiuzulu. Sirro jiuzulu kwa sababu hufai.Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?
Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.
Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?
Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefu Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.
Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?
Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!
RIP Askari Wetu
Nini Kifanyike?
Ijumaa Kuu Chungu!
Paskali
Update 1
Thanks very objective.
Paskali
Update 2 ya michango very objective
Thanks kwa mchango huu, very objective
Paskali
Update 3.
Huu ni mchango very objective
Thanks for this.
Paskali
Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?
Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.
Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?
Paskali
Kwa kweli hili lilikuwa ni tukio baya, ila niliuliza hapa, na jeshi la polisi lilijibu mapigo with full force na kuproduce bad karma nyingine!.
IGP Mstaafu Balozi Simon Sirro baada ya kuagwa rasmi na Jeshi la Polisi leo Dar es salaam amesimulia tukio ambalo hatolisahau akiwa kazini ambalo amesema ni la Askari Polisi kupigwa risasi na Majambazi baada ya kushambulia kwa risasi gari la Polisi katika Kijiji cha Uchembe, Kata ya Mjawa Wilayani Kibiti, Mkoa wa Pwani.
Sirro amesema “Tuliwapata Wahusika na bahati mbaya na wao walishatangulia mbele ya haki, hili ni tukio ambalo sitolisahau, ukienda ukakuta Askari tisa wote wamepigwa risasi wamelala sio jambo dogo”
Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?.
Mkuu Msanii ,swali kama hili,niliwahi kuuliza humu。Kuna siku wataingia kwenye 18 za wananchi.
Polisi hawafai kabisa kuvaa crown zenye nembo ya Tanzania
Back in days.Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?
Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.
Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?
Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefu Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.
Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?
Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!
RIP Askari Wetu
Nini Kifanyike?
Ijumaa Kuu Chungu!
Paskali
Update 1
Thanks very objective.
Paskali
Update 2 ya michango very objective
Thanks kwa mchango huu, very objective
Paskali
Update 3.
Huu ni mchango very objective
Thanks for this.
Paskali
hili pia nimelisemea,watakuja kumponza bure huyu mama wa watu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika WeweJibu linaweza kuwa pana zaidi lakini kwa ufupi, huu ni ugaidi unaofanywa na serikali kwa watu wake