Mauaji ya Raia yanayofanywa na Jeshi la Polisi TZ

Mo-TOWN

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2010
Posts
1,721
Reaction score
515
Naomba kuwa updated kuhusu wale vijana wawili waliopigwa risasi na Polisi Arusha maeneo ya Kijenge kwa kile kilichoitwa Majambazi yaliishia wapi? Je hivi nao swala lao lilikwisha kama lile la kina Sabinus Chigumbi-wafanyabiashara wa madini Moro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…