Mo-TOWN JF-Expert Member Joined Oct 11, 2010 Posts 1,721 Reaction score 515 Apr 6, 2012 #1 Naomba kuwa updated kuhusu wale vijana wawili waliopigwa risasi na Polisi Arusha maeneo ya Kijenge kwa kile kilichoitwa Majambazi yaliishia wapi? Je hivi nao swala lao lilikwisha kama lile la kina Sabinus Chigumbi-wafanyabiashara wa madini Moro?
Naomba kuwa updated kuhusu wale vijana wawili waliopigwa risasi na Polisi Arusha maeneo ya Kijenge kwa kile kilichoitwa Majambazi yaliishia wapi? Je hivi nao swala lao lilikwisha kama lile la kina Sabinus Chigumbi-wafanyabiashara wa madini Moro?