haha
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 1,400
- 1,638
Kwakweli ukiwa ni msomaji magazeti na mitandao ya kijamii na vyanzo mbali mbali vya taarifa lazima utastuka hali imekua mbaya wandugu? Kulikion Watanzania! Nini kimezikumba hizi ndoa au haya mahusiano?
Mbaya zaidi mpaka watu wenye umri mkubwa wameingia kwenye mkumbo huu!
Hali ni mbaya mno tena kuna matukio mengine hayaripotiwi kabisa yaniashia chinichini. Kuuwana kuumizana kuharibiana Mali kwa watu wenye mahusiano kunatisha kwa sasa.
Tatizo ni nin!? Mbaya zaidi mauaji haya huwatesa sana watoto wanaoachwa. Mfano Mama au mke anamuua baba/mume. Mama kwenda jela baba anazikwa watoto ni wadogo. Kweli inaumiza sana?
Kuna haja ya kutafuta au kuanzisha vitengo watu wapewe elimu pindi mahusiano yanapo legalega mhusika aripoti ili ushauri ufanyike kwa walengwa.
Mbaya zaidi mpaka watu wenye umri mkubwa wameingia kwenye mkumbo huu!
Hali ni mbaya mno tena kuna matukio mengine hayaripotiwi kabisa yaniashia chinichini. Kuuwana kuumizana kuharibiana Mali kwa watu wenye mahusiano kunatisha kwa sasa.
Tatizo ni nin!? Mbaya zaidi mauaji haya huwatesa sana watoto wanaoachwa. Mfano Mama au mke anamuua baba/mume. Mama kwenda jela baba anazikwa watoto ni wadogo. Kweli inaumiza sana?
Kuna haja ya kutafuta au kuanzisha vitengo watu wapewe elimu pindi mahusiano yanapo legalega mhusika aripoti ili ushauri ufanyike kwa walengwa.