Maudhui mtandaoni ni nini?

Maudhui mtandaoni ni nini?

UKARIMU

Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
9
Reaction score
8
Kuna sehemu nilisoma kwamba yuko mtu alitozwa faini ya Tsh milioni 5 kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA).

Tunaandika, tunaweka picha, sauti nk. katika Facebook, tweeter, YouTube nk.

Naomba kuelimishwa: Kipi ni maudhui na kuweka maudhui mtandaoni; na kipi si maudhui wala kuweka maudhui mtandaoni?
 
Kuna sehemu nilisoma kwamba yuko mtu alitozwa faini ya Tsh milioni 5 kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA).

Tunaandika, tunaweka picha, sauti nk. katika Facebook, tweeter, YouTube nk.

Naomba kuelimishwa: Kipi ni maudhui na kuweka maudhui mtandaoni; na kipi si maudhui wala kuweka maudhui mtandaoni?
Ulichoandika hapo juu Ni MAUDHUI na kinaweza kusababisha wewe kwenda Segerea au kulipa milioni tano.
 
Back
Top Bottom